Nenda kwa yaliyomo

Guanajuato (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza mg:Guanajuato
Mstari 65: Mstari 65:
[[lt:Guanachuatas (valstija)]]
[[lt:Guanachuatas (valstija)]]
[[lv:Gvanahvato]]
[[lv:Gvanahvato]]
[[mg:Guanajuato]]
[[mk:Гванахуато]]
[[mk:Гванахуато]]
[[mr:ग्वानाह्वातो]]
[[mr:ग्वानाह्वातो]]

Pitio la 01:00, 1 Januari 2013

Bendera ya Guanajuato
Mahali pa Guanajuato katika Mexiko

Guanajuato ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexico upande wa kati ya nchi. Mji mkuu ni Guanajuato na mji mkubwa ni León. Jimbo lina wakazi wapatao 4,893,812 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 30,491.

Imepakana na San Luis Potosí, Querétaro, Michoacán na Jalisco.

Gavana wa jimbo ni Juan Manuel Oliva Ramirez.

Jina la Guanajuato ni ya Kip'urhépecha, maana yake ni kilima ya majura.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Miji Mikubwa

  1. León (1,278,087)
  2. Guanajuato (70,798)
  3. San Miguel de Allende (134.880)
  4. Dolores Hidalgo (50 391)


Viungo vya Nje



Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guanajuato (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.