Tamasha la Nyimbo za Nigeria
Mandhari
Tamasha la Nyimbo za Nigeria (SONIFES) ni sherehe nchini Nigeria yenye lengo la kuhamasisha utofauti katika urithi wa kitamaduni wa Nigeria na hivyo kukuza maelewano ya amani kati ya Wana-Nigeria kwa njia ya sanaa na maonyesho mengine ya kitamaduni.[1][2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Songs of Nigeria Festival Archives". The Guardian Nigeria News - Nigeria and World News (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-08-10. Iliwekwa mnamo 2021-08-10.
- ↑ "Boss Mustapha, Victoria Aguiyi Ironsi to speak at Songs of Nigeria 2018". The Sun Nigeria (kwa American English). 2018-05-09. Iliwekwa mnamo 2021-08-10.
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tamasha la Nyimbo za Nigeria kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |